Praia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Praia
Remove ads

Praia ni mji mkuu wa jamhuri ya Cabo Verde iko kisiwani Santiago.

Ukweli wa haraka Nchi ...
Thumb
Praia inavyoonekana kutoka ndege.

Praia ikiwa na wakazi 159,000 hivi (2017) ni mji mkubwa kabisa pamoja na kuwa kitovu cha uchumi cha nchi.

Biasharanje inayopitia katika bandari ya Praia ni hasa kahawa, miwa na matunda.

Kuna uwanja wa ndege wa kimataifa.

Remove ads

Tazama pia

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads