Praia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Praia ni mji mkuu wa jamhuri ya Cabo Verde iko kisiwani Santiago.

Praia ikiwa na wakazi 159,000 hivi (2017) ni mji mkubwa kabisa pamoja na kuwa kitovu cha uchumi cha nchi.
Biasharanje inayopitia katika bandari ya Praia ni hasa kahawa, miwa na matunda.
Kuna uwanja wa ndege wa kimataifa.
Remove ads
Tazama pia
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads