Pweza

From Wikipedia, the free encyclopedia

Pweza
Remove ads
Remove ads

Pweza ni wanyama wa bahari wenye minyiri (mikono) minane inayobeba vikombe vya kumung'unyia na inayotumika kwa kukamata wanyama wadogo. Wana domo linalofanana na lile la kasuku ili kuseta gegereka na kome. Spishi nyingi huingiza sumu inayopooza mawino.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Pweza hunaogelea kwa kuondoa maji kwa nguvu kupitia mrija (siphon) wake. Wanaweza kubadilisha rangi yao na pengine umbo wao ili kufanana na kinyume na kujificha kwa mawindo na maadui. Wakivumbuliwa huruka wakitoa ghubari la kiwi (maada kama wino) ili kukanganya adui.

Pweza wanaweza kushambulia watu lakini hii ni adimu. Wakichochewa wanauma kwa domo lao na wanatoa sumu, lakini spishi moja tu, pweza mizingo-buluu, ana sumu inayoweza kuua watu

Remove ads

Kama chakula

Kiumbe huyu huliwa sana na watu waishio pembezoni mwa bahari kwa sababu ana nyama nzuri tu, ila huwa na chumvi nyingi.

Picha

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Pweza kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads