Pweza
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Pweza ni wanyama wa bahari wenye minyiri (mikono) minane inayobeba vikombe vya kumung'unyia na inayotumika kwa kukamata wanyama wadogo. Wana domo linalofanana na lile la kasuku ili kuseta gegereka na kome. Spishi nyingi huingiza sumu inayopooza mawino.
Pweza hunaogelea kwa kuondoa maji kwa nguvu kupitia mrija (siphon) wake. Wanaweza kubadilisha rangi yao na pengine umbo wao ili kufanana na kinyume na kujificha kwa mawindo na maadui. Wakivumbuliwa huruka wakitoa ghubari la kiwi (maada kama wino) ili kukanganya adui.
Pweza wanaweza kushambulia watu lakini hii ni adimu. Wakichochewa wanauma kwa domo lao na wanatoa sumu, lakini spishi moja tu, pweza mizingo-buluu, ana sumu inayoweza kuua watu
Remove ads
Kama chakula
Kiumbe huyu huliwa sana na watu waishio pembezoni mwa bahari kwa sababu ana nyama nzuri tu, ila huwa na chumvi nyingi.
Picha
- Minyiri
- Pweza mizingo-buluu
- Chakula ambacho pengine hujawahi kula: ugali na pweza
Viungo vya nje
- Hydroids from Reunion Island and Indian Ocean
- Smithsonian Ocean Portal Corals and Coral Reefs Ilihifadhiwa 16 Juni 2017 kwenye Wayback Machine.
- National Oceanic and Atmospheric Administration (NOAA) Coral Reef Information System
- coral-polyps/ Coral Reef Alliance Coral Polyps
- are-corals The International Coral Reef Initiative (ICRI) What are corals?
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya biolojia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Pweza kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads