Ras al-Khaimah

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ras al-Khaimah
Remove ads

Ras Al-Khaimah (Kiar.: رأس الخيمة "Rasi ya hema") ni moja kati ya utemi katika shirikisho la Falme za Kiarabu. Iko katika kaskazini kabisa ya nchi.

Thumb
Mji wa Ras al-Khaimah
Thumb
Bendera ya Ras al-Khaimah
Thumb
Eneo la Ras al-Khaiuma ndani ya Falme za Kiarabu

Eneo lake ni 1700 km². Jumla hili limegawiwa kwa sehemu mbili zinazotenganishwa na maeneo ya falme nyingine. Kuna wakazi 250,000.

Mtawala wake ni Sheikh Saqr bin Mohammad al-Qassimi.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Ras al-Khaimah kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads