Robben Island

From Wikipedia, the free encyclopedia

Robben Island
Remove ads

Robben Island ni kisiwa kidogo 12 km mbele ya mji wa Cape Town (Afrika Kusini) katika Atlantiki. Kisiwa kina eneo la hektari 547, urefu ni km 4.5 na upana hadi km 1.5.

Thumb
Majengo ya gereza la Robben Island. Mlima wa Meza nyuma
Thumb
Robben Island inavyoonekana kutoka Mlima wa Meza

Kisiwa kimejulikana kutokana na gereza lake na mfungwa mashuhuri Nelson Mandela. Wafungwa pamoja naye walikuwa Walter Sisulu, Govan Mbeki na Robert Sobukwe.

Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi ya mazingira. Watumishi wanaotembeza wageni ni wafungwa wa zamani.

Kipo kwenye orodha ya UNESCO ya Urithi wa Dunia.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Robben Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads