Robben Island
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Robben Island ni kisiwa kidogo 12 km mbele ya mji wa Cape Town (Afrika Kusini) katika Atlantiki. Kisiwa kina eneo la hektari 547, urefu ni km 4.5 na upana hadi km 1.5.

Kisiwa kimejulikana kutokana na gereza lake na mfungwa mashuhuri Nelson Mandela. Wafungwa pamoja naye walikuwa Walter Sisulu, Govan Mbeki na Robert Sobukwe.
Siku hizi kisiwa ni makumbusho na hifadhi ya mazingira. Watumishi wanaotembeza wageni ni wafungwa wa zamani.
Kipo kwenye orodha ya UNESCO ya Urithi wa Dunia.
Remove ads
Tazama pia
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Afrika Kusini bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Robben Island kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads