Roboti la mazungumzo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roboti la mazungumzo
Remove ads

Roboti la mazungumzo au roboti mazungumzo (kwa Kiingereza: chatbot, conversational robot au chatterbot) ni programu ya kompyuta inayoiga mazungumzo ya binadamu kwa njia ya maandishi au sauti. JapokuWa sio kila roboti la mazungumzo linatumia akili bandia, roboti nyingi za mazungumzo kwa sasa zinatumia usindikaji wa lugha ya asili kuelewa swali la mtumiaji na kuzalisha jibu lake.

Thumb
ELIZA, roboti la mazungumzo lililoundwa mwaka 1966, lilifanikiwa kuwahadaa watu kuamini kuwa wanazungumza na binadamu kweli

Roboti mazungumzo hurahisisha utafutaji taarifa kwa kujibu haraka maswali na maombi ya watumiaji kwa njia ya maandishi, sauti au vyote.[1]

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads