Roboti la mazungumzo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Roboti la mazungumzo au roboti mazungumzo (kwa Kiingereza: chatbot, conversational robot au chatterbot) ni programu ya kompyuta inayoiga mazungumzo ya binadamu kwa njia ya maandishi au sauti. JapokuWa sio kila roboti la mazungumzo linatumia akili bandia, roboti nyingi za mazungumzo kwa sasa zinatumia usindikaji wa lugha ya asili kuelewa swali la mtumiaji na kuzalisha jibu lake.
![]() | Makala hii, au sehemu za makala hii, inahitaji vyanzo au marejeo yoyote. Tafadhali saidia kuboresha makala hii kwa kuweka vyanzo vya kuaminika. Habari zisizowekewa vyanzo zinaweza kuwekewa alama na kuondolewa. |

Roboti mazungumzo hurahisisha utafutaji taarifa kwa kujibu haraka maswali na maombi ya watumiaji kwa njia ya maandishi, sauti au vyote.[1]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads