Roger Bacon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roger Bacon
Remove ads

Roger Bacon, O.F.M. (Ilchester, Somerset, 1214[1] - Oxford[2] 1294) alikuwa msomi mkubwa wa mambo mengi kutoka Uingereza.[3]

Thumb
Sanamu ya Roger Bacon, Oxford, Uingereza.

Kisha kusomea chuo kikuu cha Oxford, alijiunga na utawa wa Ndugu Wadogo (1256). Hapo aliacha kufundisha lakini akaendelea na masomo yake na hata kuandika kuhusu mambo mengi tofauti hadi kifo chake.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads