Rosalynn Carter
Mke wa Rais wa Marekani (1977 - 1981) Jimmy Carter. From Wikipedia, the free encyclopedia
Eleanor Rosalynn Carter (18 Agosti 1927 – 19 Novemba 2023) alikuwa mwandishi na mwanaharakati ambaye aliwahi kuwa Mwanamke wa Kwanza wa Marekani kutoka mwaka 1977 hadi 1981 kama mke wa Raisi Jimmy Carter. Kwa miongo kadhaa, amekuwa mtetezi wa mambo mbalimbali kama vile afya ya akili.

'
Rosalynn Carter | |
---|---|
![]() Picha rasmi, 1977 | |
Amezaliwa | 18 Agosti 18 1927 |
Amefariki | 19 Novemba 2023 |
Kazi yake | mwandishi na mwanaharakati wa Marekani |
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.