Rosalynn Carter

Mke wa Rais wa Marekani (1977 - 1981) Jimmy Carter. From Wikipedia, the free encyclopedia

Rosalynn Carter

Eleanor Rosalynn Carter (18 Agosti 192719 Novemba 2023) alikuwa mwandishi na mwanaharakati ambaye aliwahi kuwa Mwanamke wa Kwanza wa Marekani kutoka mwaka 1977 hadi 1981 kama mke wa Raisi Jimmy Carter. Kwa miongo kadhaa, amekuwa mtetezi wa mambo mbalimbali kama vile afya ya akili.

Thumb
Rosalynn akiwa na umri wa miaka 17 mnamo 1944

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...
Rosalynn Carter
Thumb
Picha rasmi, 1977
Amezaliwa18 Agosti 18 1927
Amefariki19 Novemba 2023
Kazi yakemwandishi na mwanaharakati wa Marekani
Funga

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.