Roy Haynes

From Wikipedia, the free encyclopedia

Roy Haynes
Remove ads

Roy Owen Haynes (13 Machi 192512 Novemba 2024) alikuwa mpigaji-dramu maarufu kutoka Marekani. Alikuwa miongoni mwa wapiga dramu waliorekodiwa zaidi katika historia ya jazz. Katika kazi yake iliyodumu kwa zaidi ya miongo minane, alicheza muziki wa swing, bebop, jazz fusion, na jazz ya kisasa (avant-garde). Anachukuliwa kuwa miongoni mwa waanzilishi wa uchezaji wa drum katika jazz. "Snap Crackle" ilikuwa jina la utani alilopewa katika miaka ya 1950. [1]

Thumb
Roy Haynes
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads