Rupert Murdoch

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rupert Murdoch
Remove ads

Rupert Keith Murdoch (alizaliwa 11 Machi 1931) ni mjasiriamali wa vyombo vya habari kutoka nchini Australia.

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Kazi yake ...

Anamiliki kampuni ya News Corporation yenye mamia ya magazeti, vituo vya redio na televisheni kote duniani, hasa kwa lugha ya Kiingereza. Media zake ni pamoja na magazeti ya The Sun na The Times (Uingereza), The Daily Telegraph, Sky News Australia, Herald Sun na The Australian (Australia), Fox News, The Wall Street Journal na New York Post (Marekani). Aliwahi kumiliki pia Runinga ya Sky (hadi 2018) na kampuni ya filamu 21st Century Fox (hadi 2019). [1]

Tangu mwaka 1985 amekuwa raia wa Marekani.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads