Rupert Murdoch
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Rupert Keith Murdoch (alizaliwa 11 Machi 1931) ni mjasiriamali wa vyombo vya habari kutoka nchini Australia.
'
Anamiliki kampuni ya News Corporation yenye mamia ya magazeti, vituo vya redio na televisheni kote duniani, hasa kwa lugha ya Kiingereza. Media zake ni pamoja na magazeti ya The Sun na The Times (Uingereza), The Daily Telegraph, Sky News Australia, Herald Sun na The Australian (Australia), Fox News, The Wall Street Journal na New York Post (Marekani). Aliwahi kumiliki pia Runinga ya Sky (hadi 2018) na kampuni ya filamu 21st Century Fox (hadi 2019). [1]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads