Sababu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sababu ni jambo linalokuwa mwanzo au chanzo cha lingine. Sababu huweza kufasilika kama ushawishi ambao tukio moja, mchakato, hali, au kitu huchangia katika uzalishaji wa tukio jingine; mchakato, hali, au kitu huweza kusababisha athari katika jambo au kitu hicho. Mara nyingi sababu huleta athari, na athari yoyote hutegemea sababu. Sababu huweza kuchangia kuleta jambo au kitu chanya au hasi[1]
Kimsingi, katika ulimwengu huu, hakuna kitu kisicho na sababu yake.
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads