Safina

From Wikipedia, the free encyclopedia

Safina
Remove ads

Safina ya Noah (kutoka Kiarabu: سفينة نوح‎, Safina Nuh; kwa Kiebrania ni: תיבת נח‎, Tevat Noaḥ) ni chombo kikubwa ambamo, kadiri ya simulizi la Kitabu cha Mwanzo (Biblia), Noah na familia yake walikombolewa wakati wa gharika kuu.

Thumb
Safina ya Noah (1846), mchoro wa Edward Hicks.

Pamoja nao wanyama wa kila aina waliokolewa humo wasife maji.

Kadiri ya kitabu hicho cha Agano la Kale, sura 6-9, Mungu ndiye aliyemuagiza Noah atengeneze chombo hicho.

Habari hiyo inapatikana pia, kwa tofauti kadhaa, katika Quran.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads