Sam Ongeri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sam Ongeri
Remove ads

Samson Kagengo Ongeri ni mwanasiasa wa Kenya na Mbunge katika Bunge la Kenya.

Thumb
Sam Ongeri

Uanachama

Yeye ni mwanachama wa Chama cha KANU

Eneo Bunge

Alichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007[1] kuwakilisha Jimbo la Nyaribari Masaba kwa tiketi ya Chama cha KANU

Uwaziri

Profesa Ongeri amekuwa Waziri wa Elimu tangu 2007. Profesa Ongeri pia amewahi kuhudumu kama mwenyekiti wa Shirikisho la Riadha nchini Kenya tangu 1974 hadi 1984. [2].

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads