Sam Ongeri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Samson Kagengo Ongeri ni mwanasiasa wa Kenya na Mbunge katika Bunge la Kenya.

Uanachama
Yeye ni mwanachama wa Chama cha KANU
Eneo Bunge
Alichaguliwa katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya, 2007[1] kuwakilisha Jimbo la Nyaribari Masaba kwa tiketi ya Chama cha KANU
Uwaziri
Profesa Ongeri amekuwa Waziri wa Elimu tangu 2007. Profesa Ongeri pia amewahi kuhudumu kama mwenyekiti wa Shirikisho la Riadha nchini Kenya tangu 1974 hadi 1984. [2].
Tazama pia
- Jimbo la Nyaribari Masaba
- Wakisii
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads