Sandra Bullock

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sandra Bullock
Remove ads

Sandra Annette Bullock (amezaliwa 26 Julai 1964) ni mwigizaji filamu wa Marekani. Ameanza kujipatia umaarufu kunako miaka ya 1990, baada ya kuigiza katika moja ya sehemu ya filamu zilizopata mafaniko makubwa - Speed na While You Were Sleeping.

Ukweli wa haraka Sandra Bullock ...

Baada ya hapo, akawa miongoni mwa waigizaji filamu wenye kuheshimika, hasa baada ya kucheza filamu iliyochezwa mwaka wa 2004 - Crash. Ni miongoni mwa wanamama tajiri wa 14 ambao waigizaji-mashuhuri wanaomiliki zaidi au chini ya dola milioni 85 za Kimarekani.

Remove ads

Filamu alizoigiza

Maelezo zaidi Jina la filamu, Mwaka ...
Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads