Sandra Bullock
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sandra Annette Bullock (amezaliwa 26 Julai 1964) ni mwigizaji filamu wa Marekani. Ameanza kujipatia umaarufu kunako miaka ya 1990, baada ya kuigiza katika moja ya sehemu ya filamu zilizopata mafaniko makubwa - Speed na While You Were Sleeping.
Baada ya hapo, akawa miongoni mwa waigizaji filamu wenye kuheshimika, hasa baada ya kucheza filamu iliyochezwa mwaka wa 2004 - Crash. Ni miongoni mwa wanamama tajiri wa 14 ambao waigizaji-mashuhuri wanaomiliki zaidi au chini ya dola milioni 85 za Kimarekani.
Remove ads
Filamu alizoigiza
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads