Santa Ana, California

From Wikipedia, the free encyclopedia

Santa Ana, California
Remove ads

Santa Ana (yaani "Mtakatifu Ana") ni mji wa Marekani katika jimbo la California. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 340,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 35 kutoka juu ya usawa wa bahari. Eneo lake ni 71 km².

Thumb
Mji wa Santa Ana, California
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Thumb
Mahali pa Santa Ana katika Orange County na California

Jina lake la Kihispania linadokeza asili ya mji huo kama misheni ya Ndugu Wadogo kutoka Mexico iliyoanzishwa kwa heshima ya mama wa Bikira Maria.

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu maeneo ya California bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Santa Ana, California kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads