Sara Ramadhani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sara Ramadhani (amezaliwa tarehe 30 Desemba 1987) ni Mtanzania mkimbiaji wa mbio ndefu zijulikanazo kama marathoni. Alishiriki shindano la Marathoni ya wanawake ya mwaka 2016 ambapo alimaliza umbali wa 121 kwa muda wa 3:00:03 [1]
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads