Shamgar

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shamgar
Remove ads

Shamgar mwana wa Anath (kwa Kiebrania מְגַּר, Šamgar) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Thumb
Shamgar alivyochorwa katika Karne za Kati.

Kadiri ya Waamuzi 3:31 alikomboa Israeli kutoka mikono ya Wafilisti, kwa kuwaua 600. Katika 5:6 jina linapatikana tena kwa maelezo tofauti hata kusababisha maswali mengi yanayojibiwa na wataalamu kwa namna mbalimbali.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads