Shawn Stockman
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Shawn Patrick Stockman[2][3] (amezaliwa 26 Septemba, 1972) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kuwa mmoja kati ya wanachama waanzilishi wa kundi zima la muziki wa R&B kutoka nchini Marekani maarufu kama Boyz II Men.[4] Vilevile aliwahi kuwa jaji katika kipindi cha televisheni maarufu cha The Sing-Off.
Remove ads
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads