Shawn Stockman

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shawn Stockman
Remove ads

Shawn Patrick Stockman[2][3] (amezaliwa 26 Septemba, 1972) ni mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mtayarishaji wa rekodi nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa kuwa mmoja kati ya wanachama waanzilishi wa kundi zima la muziki wa R&B kutoka nchini Marekani maarufu kama Boyz II Men.[4] Vilevile aliwahi kuwa jaji katika kipindi cha televisheni maarufu cha The Sing-Off.

Ukweli wa haraka Taarifa za awali, Jina la kuzaliwa ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads