Kikomori
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Kikomori ni lugha asilia ya wakazi wa funguvisiwa la Komori katika Bahari Hindi. Pamoja na Kifaransa na Kiarabu ni moja ya lugha rasmi ya Komori.
Inahesabiwa kati ya lahaja za Kiswahili au kama lugha ya karibu na Kiswahili. Huandikwa kwa alfabeti ya Kiarabu lakini kuna pia mielekeo ya kusanifisha maandishi yake kwa alfabeti ya Kilatini.
Kwa jumla athira ya Kiarabu na Kifaransa ilikuwa kubwa, hivyo kuna maneno mengi zaidi yenye asili ya Kiarabu kuliko kwenye Kiswahili sanifu.
Remove ads
Viungo vya Nje
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kikomori kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads