Shinya Yamanaka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Shinya Yamanaka
Remove ads

Shinya Yamanaka (amezaliwa 4 Septemba, 1962) ni mwanabiolojia kutoka nchi ya Japani. Hasa alichunguza seli na ubadilishaji wake. Mwaka wa 2012, pamoja na John Gurdon, alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba.

Makala hii kuhusu mshindi wa Tuzo ya Nobel bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Shinya Yamanaka kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Shinya Yamanaka
Thumb
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads