Sinaloa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sinaloa
Remove ads

Sinaloa ni moja kati ya majimbo 31 ya Mexiko upande wa magharibi ya nchi. Upande wa magharibi ni Ghuba ya California (au Bahari ya Cortez). Imepakana Sonora, Chihuahua, Durango na Nayarit.

Thumb
Mchezaji wa Ulama, Sinaloa
Thumb
Bendera ya Sinaloa
Thumb
Mahali pa Sinaloa katika Mexiko

Mji mkuu na mji mkubwa ni Culiacán. Jimbo lina wakazi wapatao 2,208,652 (2005) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 58,238.

Utalii na kilimo huajiri watu wengi.

Gavana wa jimbo ni Jesús Aguilar Padilla.

Lugha rasmi ni Kihispania.

Remove ads

Miji Mikubwa

  1. Culiacán (793,703)
  2. Los Mochis (451,977)
  3. Mazatlán (352,471)




Viungo vya Nje



Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Sinaloa kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads