Sista

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sista
Remove ads

Sista (kutoka Kiingereza sister, yaani dada) ni neno la mkopo linalotumika katika lugha ya Kiswahili hasa kumaanisha mtawa wa kike, yaani mwanamke aliyewekwa wakfu alipoahidi kushika mashauri ya Kiinjili ya useja mtakatifu, ufukara na utiifu.

Thumb
Masista katika maandamano wakivaa kanzu.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads