Sister Rosetta Tharpe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sister Rosetta Tharpe (alizaliwa Rosetta Nubin, Machi 20, 1915 – Oktoba 9, 1973)[1] Alikuwa mwimbaji, mtunzi wa nyimbo na mpigaji gitaa kutoka Marekani. Alijulikana zaidi katika miaka ya 1930 na 1940 kwa kurekodi muziki wa Injili, uliojulikana kwa mchanganyiko wa kipekee wa maneno ya kiroho na electric guitar.[2][3]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads