Sita

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Sita ni namba ambayo inafuata tano na kutangulia saba. Kwa kawaida inaandikwa 6 lakini VI kwa namba za Kiroma na ٦ kwa zile za Kiarabu.

Mabadiliko katika kuandika sita.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 3.

Namba hiyo katika Kiswahili ina asili ya Kiarabu pamoja na sitini (sita mara kumi).

Marejeo

  • The Odd Number 6, JA Todd, Math. Proc. Camb. Phil. Soc. 41 (1945) 66—68
  • A Property of the Number Six, Chapter 6, P Cameron, JH v. Lint, Designs, Graphs, Codes and their Links ISBN 0-521-42385-6
  • Wells, D. The Penguin Dictionary of Curious and Interesting Numbers London: Penguin Group (1987): 70–71

Viungo vya nje

Ukweli wa haraka
Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sita kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads