Sofa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sofa
Remove ads

Sofa (kutoka neno la Kiingereza lilitokana na Kituruki likiwa na asili ya Kiarabu suffa, yaani "sufu"; pia kochi kutokana na Kiingereza "couch") ni kiti cha starehe cha kisasa kinachoundwa kwa kutumia mbao magodoro na kitambaa maalumu.

Thumb
Sofa kadhaa katika maeneo ya ufukwe wa bahari.

Sofa ni maarufu sana: kwa sasa hutumika sehemu mbalimbali kama nyumbani, ofisini, katika masaluni n.k.

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads