Sofa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Sofa (kutoka neno la Kiingereza lilitokana na Kituruki likiwa na asili ya Kiarabu suffa, yaani "sufu"; pia kochi kutokana na Kiingereza "couch") ni kiti cha starehe cha kisasa kinachoundwa kwa kutumia mbao magodoro na kitambaa maalumu.

Sofa ni maarufu sana: kwa sasa hutumika sehemu mbalimbali kama nyumbani, ofisini, katika masaluni n.k.
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads