Sufu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sufu
Remove ads

Sufu (pia: sufi, tazama pale; kutoka kar. صوف suf[1]) ni nywele manyoya laini za wanyama mbalimbali kama vile kondoo, mbuzi, ngamia, lama au sungura zinazofaa kusokotwa kuwa uzi ndefu kwa matumizi ya nguo au matandiko na blanketi.

Thumb
Sufu ya kondoo wakati wa majira ya baridi
Thumb
Sufu iliyokatwa na kusafishwa; kulia: uzi fupi; kushoto: uzi ndefu

Sufu ilianza kutumiwa kwa nguo tangu miaka 4000 KK na watu wamechagua wanyama wanaofaa na kuwafuga kwa tabia hii. Leo hii kiasi kikubwa kabisa cha sufu kinapatikana kutokana na kondoo. Nchi ya Australia ina kondoo nyingi duniani inazaa asilimia 30 za mahitaji ya sufu duniani.


Ukweli wa haraka
Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads