Tarafa
eneo la ugatuzi katika nchi mbalimbali From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tarafa (kutoka neno la Kiarabu; kwa Kiingereza: "circondary") ni eneo la ugatuzi katika nchi mbalimbali.
Kwa mfano nchini Tanzania tarafa ni sehemu ya kiutawala iliyo ndogo kuliko wilaya na ni kubwa kuliko kata. Hivyo ni ngazi kati ya wilaya na kata.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads