Ugatuzi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ugatuzi
Remove ads

Ugatuzi (kwa Kiingereza: devolution) ni mfumo wa utawala unaogawa madaraka ya uamuzi kutoka katika ngazi ya juu ya serikali na kuyapeleka katika ngazi ya chini (serikali za mitaa)[1][2].

Thumb
Bunge la funguvisiwa la Aland katika nchi ya Ufini.

Namna ugatuzi unavyofanyika inategemea sheria za nchi husika.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads