Ugatuzi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ugatuzi (kwa Kiingereza: devolution) ni mfumo wa utawala unaogawa madaraka ya uamuzi kutoka katika ngazi ya juu ya serikali na kuyapeleka katika ngazi ya chini (serikali za mitaa)[1][2].

Namna ugatuzi unavyofanyika inategemea sheria za nchi husika.
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads