Teddy Louise Kasela-Bantu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Teddy Louise Kasela-Bantu (amezaliwa 8 Juni, 1950) ni mbunge wa jimbo la Bukene katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.
Tazama pia
- Wabunge wa Tanzania
- Tovuti ya Bunge la Tanzania
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads