Tekirdağ

From Wikipedia, the free encyclopedia

Tekirdağ
Remove ads

Tekirdağ ni mji uliopo Thrace ya Mashariki, katika sehemu ya Kiulaya, Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Tekirdağ na unaonekana na wengi kama mji ni mdogo sana, mji mtulivu sana kuliko kituo chake cha kibaishara cha Çorlu, ambapo ndipo kuna makao makuu ya serikali. Idadi ya wakazi kwa mujibu wa sensa ya mwaka wa 2008 ilikuwa 137,962[1].

Thumb
Mji wa Tekirdağ

Mji wa Tekirdag ulipewa majina tofauti kabla haujapata jina lake la sasa. Ulikuwa ukijulikana kama “Rodosto” wakati wa zama za Byzanti, “Rodoscuk” baada ya kuangukia katika ufalme wa Osmani kunako karne ya 14. Baadaye ilipata jina karibu linalofanana na hili la sasa kunako karne ya 18: “Tekfurdag”... Ulianza kuitwa “Tekirdag” baada ya kutangazwa kwa Jamhuri.

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads