Teofane muungamadini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Teofane Muungamadini (Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 758/760 - Samotrake, leo nchini Ugiriki, 12 Machi 817/818) alikuwa mwandishi maarufu na tajiri sana ambaye alijifanya mmonaki tena fukara akateswa kwa kutetea heshima kwa picha takatifu dhidi ya kaisari Leo V wa Bizanti.

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Teofane kadiri ya mtindo wa Ukristo wa mashariki.

Jina la pili aliongezewa kutokana na mateso yaliyompata gerezani kwa ajili ya imani sahihi: alipopelekwa uhamishoni aliweza kuishi siku 17 tu akafa.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 12 Machi[1].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads