Teofane muungamadini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Teofane Muungamadini (Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 758/760 - Samotrake, leo nchini Ugiriki, 12 Machi 817/818) alikuwa mwandishi maarufu na tajiri sana ambaye alijifanya mmonaki tena fukara akateswa kwa kutetea heshima kwa picha takatifu dhidi ya kaisari Leo V wa Bizanti.

Jina la pili aliongezewa kutokana na mateso yaliyompata gerezani kwa ajili ya imani sahihi: alipopelekwa uhamishoni aliweza kuishi siku 17 tu akafa.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya lugha nyingine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads