Theresa May

From Wikipedia, the free encyclopedia

Theresa May
Remove ads

Maria Theresa May (/təˈriːzə/;[1] nee Brasier; amezaliwa Eastbourne, Sussex, 1 Oktoba 1956) ni mwanasiasa wa Uingereza aliyehudumia kama Waziri Mkuu wa nchi na Kiongozi wa Chama cha Conservative tangu mwaka 2016. hadi 2019. Yeye aliwahi kuwa Home Secretary kutoka 2010 hadi mwaka 2016. Mei alichaguliwa Mbunge mara ya kwanza kwa ajili ya jimbo la Maidenhead mwaka wa 1997.

Thumb
Picha rasmi: Waziri Mkuu wa Uingereza akiwa ofisini mwaka 2016
Remove ads

Angalia pia

  • Orodha ya Mawaziri Wakuu wa Ufalme wa Muungano

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads