Timothy Kitum
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Timothy Kitum (alizaliwa 20 Novemba 1994) ni mkimbiaji wa mbio za kati kutoka Kenya. Pia alishinda Michezo ya Vijana ya Jumuiya ya Madola mita 800 na Rekodi ya Michezo 1.49.32
Alishinda medali ya fedha katika mbio za mita 800 katika Mashindano ya Dunia ya Wanariadha wa 2012 huko Barcelona, akimaliza wa pili kwa Nijel Amos,[1] kabla ya kushinda medali ya shaba katika mbio za mita 800 za wanaume katika Michezo ya Olimpiki ya Majira ya joto ya mwaka 2012. [2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads