Tola

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Tola (kwa Kiebrania תּוֹלָע, Tola, Tôlāʻ[1]) alikuwa mmojawapo kati ya Waamuzi wa Biblia.

Kadiri ya Waamuzi 10:1-2 alikuwa wa kabila la Isakari akaongoza Israeli kwa miaka 23 huko Shamir katika mlima wa Efraimu.

Ndiye mwamuzi ambaye habari zake zimesimuliwa kifupi zaidi.

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads