Trieste

From Wikipedia, the free encyclopedia

Trieste
Remove ads

Trieste ni jina la mji mkuu wa mkoa wa Friuli-Venezia Giulia katika Italia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 205,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 2 juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Trieste
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Remove ads

Picha

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads