Tropical Teqniks
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tropical Teqniks ni jina la albamu ya pili kutoka kwa kundi zima muziki wa hip hop kutoka nchini Tanzania, Kwanza Unit. Alabmu ilitoka mwaka 1996 chini ya lebo ya Madunia Foundation - Rumba Kali African Hip Hop (RAHH). Nyimbo kali kutoka katika albamu ni pamoja na Suckers, Nata, Play Ya Part na nyingine kibao. [1] Hii ndiyo albamu ya kwanza ya hip hip nchini Tanzania kutolewa katika CD.
Remove ads
Orodha ya nyimbo
Hii ni orodha ya nyimbo zinazopatikana katika albamu hii.
- A1 - Tekniqs
- A2 - Zipi?
- A3 - Suckers
- A4 - Nata
- A5 - One 4 Me
- B1 - Randa
- B2 - Dedication (4 A Late Homie)
- B3 - Play Ya Part
- B4 - Shout Out
- B5 - Freestyle (Live August 1996)
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads