Tsutsube
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tsutsube ni ngoma ya asili na nimuziki unaoandamana[1] nchini Botswana ambapo inatekelezwa na watu wa Basarwa au San. Tsutsube inafanywa katika sehemu nne za kitamaduni na hatua ambazo ni mauaji ya kwanza, kubalehe, ndoa na ndoto. Kulingana na historia, kuua kwa kwanza ni kwa wanaume au wavulana, na ngoma za ndoto ilikuwa kwa madhumuni ya uponyaji ili kushirikisha roho za mababu.
Asili
Asili ya Tsutsube ilikuwa aina ya ngoma ambayo ilihusishwa na maeneo ya Ghanzi na mikoa ya Kgalagadi lakini sasa imeenea katika sehemu nyingi za nchi. Sasa inafanywa katika maeneo tofauti ya Botswana na baadhi ya maeneo ya jimbo la Kaskazini Magharibi mwa Afrika Kusini.[2]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads