Tumbe

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Tumbe ilikuwa kata ya Wilaya ya Micheweni katika Mkoa wa Pemba Kaskazini, Tanzania.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 10,994 waishio humo. [1]

Kwa sasa imegawiwa katika kata za Tumbe Magharibi na Tumbe Mashariki.

Remove ads

Historia

Kulikuwa mahali pa makazi ya Waswahili wa kale katika pwani ya Bahari ya Hindi.

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads