Ngedere
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ngedere au tumbili ni aina za kima wa jenasi Chlorocebus katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara, lakini spishi kadhaa zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia.
Remove ads
Spishi
- Chlorocebus aethiops, Ngedere Habeshi (Grivet)
- Chlorocebus cynosuros, Ngedere wa Kongo (Malbrouck Monkey)
- Chlorocebus djamdjamensis, Ngedere wa Bale (Bale Monkey)
- Chlorocebus pygerythrus, Ngedere Mashariki (Vervet)
- Chlorocebus sabaeus, Ngedere Magharibi (Green Monkey)
- Chlorocebus tantalus, Ngedere wa Afrika ya Kati (Tantalus Monkey)
Picha
- Ngedere Habeshi
- Ngedere wa Kongo
- Ngedere mashariki
- Ngedere magharibi
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads