Ukinzani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Ukinzani ni zuio la upitaji wa umeme.

Kifaa kinachotoa ukinzani kwenye sakiti huitwa kikinza au kikinzani [1]; pia: kikinzanishi[2] au resista [3].

Ukinzani hupimwa kwa omu mita wakati kikinza hupimwa kwa omu.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads