Ukumbusho
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ukumbusho ni jambo, jengo au tendo lililokusudiwa kufanya watu wakumbuke mtu au tukio.
La kawaida zaidi ni jiwe au msalaba kaburini ambapo limeandikwa jina la marehemu aliyezikwa kaburini mle, mara nyingi likiwa pamoja na tarehe ya kuzaliwa na kufa kwake.
Pengine wafiwa wanaunda mfuko maalumu wenye jina la marehemu ambao usaidie watu wenye shida, kwa mfano wanafunzi wasiojiweza.
Picha za maziara maarufu
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads