Msalaba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Msalaba
Remove ads
Remove ads

Msalaba ni ishara inayotokana na mistari miwili kukutana katikati yake.

Thumb
Msalaba wa Kigiriki juu ya Msalaba wa Mt. Andrea.

Hiyo ni mojawapo kati ya ishara maarufu na ya zamani zaidi duniani kote, katika sanaa, utamaduni na dini, hasa Ukristo unaoheshimu kama ukumbusho wa kifodini cha mwanzilishi wake, Yesu Kristo, aliyekufa kwa njia ya usulubisho.

Msalaba ulikwishatumiwa na Wakristo wa kale sana. Mwanzoni mwa karne ya 3 Tertullianus, katika kitabu "De Corona", alisema kwamba walikuwa na desturi ya kujifanyia ishara hiyo katika paji la uso.

Lakini alama ya msalaba au za kufanana na msalaba zinapatikana pia katika tamaduni mbalimbali tangu kale bila uhusiano wowote na Ukristo.

Misalaba iliyotumiwa kwa adhabu ya kifo iliweza kuwa na maumbo mbalimbali, hata kuwa ubao mmoja tu bila mikono ya kando.

Remove ads

Misalaba mbalimbali

Maelezo zaidi Picha, Jina la Msalaba ...
Remove ads

Katika bendera

Bendera nyingi zinabeba ishara ya msalaba.

Bendera za nchi huru zenye msalaba

Bendera nyingine zenye msalaba

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads