Ulezi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ulezi
Remove ads

Ulezi ni mbegu ya mlezi au mwele, aina ya nafaka ambayo hulimwa katika sehemu zenye hali ya ukame, hasa katika Ulimwengu wa Tatu.

Thumb
Ulezi

Matumizi ya ulezi

Unga wake hutumika kutengenezea ugali, uji na kadhalika, hasa kwa wagonjwa.

Pia unatumika kama chachu kutengeneza aina mbalimbali za pombe.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads