Umbile

From Wikipedia, the free encyclopedia

Umbile
Remove ads
Remove ads

Umbile (kwa wingi: Maumbile) ni neno linaloendana na neno "umbo" na kutokana na kitenzi "kuumba". Umbile ni hali inayoelezea kitu fulani kilivyo.

Thumb
Mbwa huyu ni mnene na mfupi.
Thumb
Umbile la nyoka

Katika kuelezea kitu hicho kila mtu huwa na mtazamo wake, yaani: kuna atakayesema "kitu kile ni kikubwa", mwingine atasema "kitu kile ni kidogo" na mawazo mengine tofautitofauti, kama vile "kitu kile ni kizuri", "kitu kile hakifai", n.k.

Mfano: Tukizungumzia umbile la mbwa tutasema:

Pia:

  • Mbwa ni mfupi ama
  • Mbwa ni mrefu

Mfano mwingine: Tukizungumzia kuhusu umbile la nyoka tutasema:

  • nyoka ni mfupi ama
  • nyoka ni mrefu

Pia:

Sayansi mbalimbali zinachunguza umbile upande mmoja na kwa vigezo vyake, falsafa upande mwingine kwa kutumia hasa hoja za mantiki n.k.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads