Mbwa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mbwa
Remove ads

Mbwa ni wanyama mbuai wa familia Canidae, lakini takriban spishi zote za Afrika zinaitwa bweha au mbweha.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...

Ukubwa wa spishi za mwitu unatofautiana kutoka 24 sm (fenek) mpaka 2 m ( mbwa mwitu wa Ulaya (kadiri ya vipimo kwa mbwa-kaya ni 9.5-250 sm).

Mbwa wa familia Canidae hupatikana mabara yote isipokuwa Antaktika.

Wanyama hawa wana pua ndefu na miguu mirefu na mkia wa manyoya. Rangi yao ni kijivu, kahawia au hudhurungi; kwa kawaida tumbo ni jeupe.

Spishi nyingine zinatokea misituni na nyingine zinatokea maeneo wazi. Mbwa hukamata mawindo aina yoyote lakini ukubwa wa mawindo unafuatana na ukubwa wa spishi ya mbwa. Hata hivyo, spishi zinazoishi kwa makundi, kama mbwa-mwitu wa Afrika, zinaweza kukamata windo kubwa sana kuliko wao wenyewe. Spishi kadhaa hufugwa na binadamu, hususan mbwa-kaya.

Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Picha

Viungo vya nje

  • Biodiversity Heritage Library bibliography
  • World Canine Organisation
  • Historia ya mbwa
  • Video inayoonyesha ujuzi wa mbwa wa polisi
  • National Research Council (U.S.). Subcommittee on Dog Nutrition (1974). Nutrient requirements of dogs. National Academy of Sciences. ISBN 0-309-02315-7.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads