Umontani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Umontani
Remove ads

Umontani ulikuwa aina ya Ukristo iliyopewa jina la mwanzilishi wake , Montanus [1], mtu wa Frigia (leo nchini Uturuki)[2] wa karne ya 2. Huyo alijidai kumpata Roho Mtakatifu kama nabii, lakini Kanisa Katoliki kwa jumla lilimuona yeye na wafuasi wake kama wazushi [3][4]. Hata hivyo Umontani ulienea hata Ulaya na Afrika Kaskazini na kudumu kwa namna moja au nyingine katika karne zilizofuata [5].

Thumb
Mitume wa Yesu wakimpokea Roho Mtakatifu siku ya Pentekoste kadiri ya Matendo ya Mitume. Montanus alidai kumpata vilevile.
Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads