Unst
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Unst ni kisiwa cha funguvisiwa la Shetland, upande wa kaskazini ya Uskoti (Scotland). Inahesabiwa kuwa sehemu ya Uskoti.


Visiwa vya Shetland viko baharini kati ya Visiwa vya Faroe na Visiwa vya Orkney. Funguvisiwa hilo liko mpakani kati ya Bahari Atlantiki upande wa magharibi na Bahari ya Kaskazini upande wa mashariki.
Tabianchi ni nusu aktiki na si baridi sana kutokana na athira ya mkondo wa ghuba.
Remove ads
Uchumi
Uchumi wa visiwa unategemea kilimo na hasa ufugaji wa kondoo.
Mwaka 1969 mafuta ya petroli yaligunduliwa yakawa chanzo kipya cha mapato.
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads