Uovu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Uovu (kwa Kiingereza: iniquity) ni ubaya wa kimaadili unaomfanya mtu atende kwa makusudi mambo mabaya katika maisha yake na katika jamii.

Katika dini, hali hiyo inaweza ikatokea kwa sababu ya kushupaa katika dhambi bila kukubali toba.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads