Uovu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Uovu (kwa Kiingereza: iniquity) ni ubaya wa kimaadili unaomfanya mtu atende kwa makusudi mambo mabaya katika maisha yake na katika jamii.
Katika dini, hali hiyo inaweza ikatokea kwa sababu ya kushupaa katika dhambi bila kukubali toba.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads