Uppsala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Uppsala
Remove ads

Uppsala ni mji kubwa nchini Uswidi. Ni mji mkubwa wa nne katika nchi wa Uswidi. Kuna wakazi 144,839 (mwaka 2008). Kuna pia Chuo Kikuu cha Uppsala.

Thumb
Picha ya satelite
Thumb

Jiografia

Eneo lake ni 47.86 km². Umbali na Jiji la Stockholm ni 70 km.

Mji uliundwa mwaka 1497.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Uppsala kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads