Ustawi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ustawi (kwa Kiingereza: well-being) ni hali ya kuboresha au kuendelea katika maisha, pamoja na kuwa na afya njema, furaha, na mafanikio katika maeneo mbalimbali ya maisha kama vile fedha, jamii, na akili.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads