Utungisho

From Wikipedia, the free encyclopedia

Utungisho
Remove ads

Utungisho (kwa Kiingerezaː Fertilisation au fertilization; pia generative fertilisation, conception, fecundation, syngamy na impregnation[1]) ni muungano wa gameti ya kiume na ya kike ambao ni mwanzo wa kiumbehai mpya.

Thumb
Mbegu ya shahawa ikiingilia kijiyai.

Utungisho ni wakati muafaka katika mchakato mzima wa kuzaliana. Huanza pale mbegu ya manii inapokutana na sehemu ya nje ya kijiyai (ovum) na humalizikia pale kiini cha mbegu hiyo kinapoungana na kile cha yai kuaunda seli moja ambayo baadaye hukua na kufikia hali ya kiumbe kikubwa cha spishi yake.

Utungisho hutokea kwa wanyama hali kadhalika kwa mimea ambayo huzaliana kwa ogani zote za kike na kiume kuchangia katika kutengeneza kiumbe kipya.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads